Kaimu Katibu Mtendaji BMT atoa somo waamuzi na TFF
Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Bi.Neema Msitha amewataka waamuzi kutunza ladha ya mpira wa miguu kwa kutumia taaluma na kufanya kazi kwa weledi ili kujitofautisha na wasiokuwa na taaluma hiyo.
