Kaimu Katibu Mtendaji BMT atoa somo waamuzi na TFF

(Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo Taifa, Bi.Neema Msitha)

Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Bi.Neema Msitha amewataka waamuzi kutunza ladha ya mpira wa miguu kwa kutumia taaluma na kufanya kazi kwa weledi ili kujitofautisha na wasiokuwa na taaluma hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS