Yanga kuvunja benki kumsajili Clatous Chama

(Kiungo Clatous Chama alipokuwa na Simba SC msimu uliopita)

Vyanzo kutoka nchini Ghana vinaripoti kuwa, Klabu ya Yanga ipo tayari kutoa kiasi cha shilingi bilioni moja ili kumsajili kiungo wa zamani wa Simba SC, Clatous Chama anayekipiga kwenye klabu ya RS Berkaine ya Morocco.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS