Yanga kuvunja benki kumsajili Clatous Chama
Vyanzo kutoka nchini Ghana vinaripoti kuwa, Klabu ya Yanga ipo tayari kutoa kiasi cha shilingi bilioni moja ili kumsajili kiungo wa zamani wa Simba SC, Clatous Chama anayekipiga kwenye klabu ya RS Berkaine ya Morocco.