AFCON 2021 mashakani

(Kombe la Michuano ya Mataifa ya Afrika 'AFCON' 2022)

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Maendeleo ya soka barani Afrika, Abdel Moniem Shatta ametilia shaka maandalizi ya AFCON yanayotazamiwa kufanyika mapema 2022 kwasababu wenyeji Cameroon kusua sua kukamilisha ujenzi wa viwanja.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS