Saa chanzo cha mwalimu kumpa mimba mwanafunzi

Mwanafunzi aliyepewa ujauzito na mwalimu wake

Wazazi na wa mwanafunzi wa kike (15) aliyekuwa anasoma kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Kolero wilauani Morogoro, wamelilalamikia jeshi la polisi kushindwa kumchukulia hatua mwalimu anayetuhumiwa kumbaka na kumpa mimba mwanafunzi huyo huku akiendelea kutamba kijijini hapo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS