Mwanafunzi afariki kwa kugongwa pikipiki shuleni
Barabara kubwa inayokatiza katikakati ya majengo yanayotenganisha kidato cha kwanza mpaka cha nne pamoja na kidato cha tano na sita katika shule ya Sekondari Nyang’hwale imeelezwa kusababisha kifo cha mwanafunzi.

