Lukaku apigwa faini Chelsea

Mshambuliaji wa Chelsea FC, Romelu Lukaku ameomba radhi kwa kocha wake Thomas Tuchel pamoja na mashabiki wa mabingwa hao wa Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya, ikiwa siku kadhaa baada ya mahojiano ya dhihaka kwa kocha wake aliyofanya na Sky Sports kuwekwa hadhari kituo hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS