Tanzania yapokea msaada wa bilioni 119.2

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Emmanuel Tutuba na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania Regine Hess

Serikali ya Ujerumani imeipatia Tanzania msaada mwingine wa Euro milioni 45 sawa na takribani shilingi za Tanzania bilioni 119.2 kwa ajili ya kutekeleza miradi mitatu katika sekta za maji, afya na kuendeleza sekta ya maliasili na utalii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS