Mchezaji wa zamani Kaizer Chiefs auawa Picha ya Mchezaji Lucky Maselesele Mchezaji wa zamani wa klabu ya Kaizer Chiefs na Maritzburg United za nchini Afrika Kusini Lucky Maselesele (41) ameripotiwa kushambuliwa na kuuawa na kundi la watu lililomtuhumu kuiba nyaya za umeme. Read more about Mchezaji wa zamani Kaizer Chiefs auawa