Neville awatuhumu wachezaji Man U
Beki wa zamani wa Manchester United, Gary Neville amewatuhumu wachezaji wa klabu hiyo kwa kutoipambania timu na kufanya mambo kama watoto huku wakidhani wao ni bora kuliko ilivyokuwa enzi zao, wakati wanakubali kipigo cha bao 4-2 dhidi ya Leicester City Jumamosi.