Wizkid ashutumiwa kumlipa Rihanna

Picha ya msanii Wizkid

Nyota wa muziki kutoka nchini Nigeria Wizkid anashutumiwa kuwa alimlipa mwimbaji Rihanna ili amtangazie (promote) wimbo wake “Essence” ambao alionekana akiucheza wakati ameenda live instagram.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS