Wanawake wasema uhaba wa maji uliteteresha ndoa

Baadhi ya wanawake wa mkoa wa Simiyu, walioeleza changamoto waliyokuwa wakiipata sababu ya maji

Wanawake wanaoishi maeneo ya vijijini katika wilaya ya Itilima na Bariadi, mkoani Simiyu, wamesema kero ya maji imesababisha kutetereka kwa ndoa zao, kutokana na wao kuamka saa 9 usiku kwenda kutafuta maji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS