Watanzania wachangamkie magari yanayotumia gesi

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya magari ya Scania Tanzania Limited, Johanna Lind

Kuanzishwa kwa matumizi ya magari yanayotumia gesi asilia kumeelezwa kuwa kutainua fursa kwa uwekezaji katika nchi ya Tanzania ambapo uzalishaji wa gesi unazidi kutiliwa mkazo huku serikali ikitenga mabilioni ya fedha kusaidia uzalishaji wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS