Watanzania wachangamkie magari yanayotumia gesi
Kuanzishwa kwa matumizi ya magari yanayotumia gesi asilia kumeelezwa kuwa kutainua fursa kwa uwekezaji katika nchi ya Tanzania ambapo uzalishaji wa gesi unazidi kutiliwa mkazo huku serikali ikitenga mabilioni ya fedha kusaidia uzalishaji wake.

