Kilichomkuta Serena Williams ni huzuni

Serena Williams akiangulia kilio baada ya kupata maumivu ya misuli kwenye mguu wake wa kulia na kushindwa kuendelea na mchezo wa mzunguko wa pili kwenye michuano ya Tenisi ya Wimbledon.

Mcheza tenisi anayeshika nafasi ya nane kwenye viwango vya ubora Duniani kwa mujibu wa Chama cha wacheza tenisi cha Wanawake Duniani, Serena Williams ameshindwa kuendelea na mchezo wake katika michuano ya Wimbledon usiku wa kuamkia leo baada ya kupata maumivu ya mguu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS