Moto wa Atlanta waanza Upya fainali NBA 

Nyota wa Atlanta, Lou Williams akijaribu kutaka kwapita walinzi wa Milwaukee Bucks, Khris Middletone (kushoto) na Anthony Leon 'P.J Tucker' (kulia) kwenye mchezo wa Alfajiri ya kuamkia leo.

Timu ya Atlanta Hawks imefanikiwa kuibuka na ushindi wa alama 116-88 dhidi ya timu ya Milwaukee Bucks kwenye mchezo wa mzunguko wa nne wa fainali ya ligi ya mpira wa kikapu nchini Marekani 'NBA' kwa ukanda wa Mashariki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS