Ahukumiwa baada ya kuidharau Mahakama

Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Jacob Zuma

Mahakama ya kikatiba nchini Afrika Kusini imemuhukumu Rais Mstaafu wa nchi hiyo Jacob Zuma, kifungo cha miezi 15, kwa kosa la kudharau Mahakama, baada ya kukataa kuitikia wito wa kuonana na kamati iliyokuwa inamchunguza kuhusu rushwa na ufisadi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS