Mpango wa tatu wa maendeleo wazinduliwa

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa amezindua rasmi mpango  wa tatu wa maendeleo ya taifa wa miaka mitano huku akiwahidi watanzania kuwa mambo yote yaliyoahidiwa katika kampeni za mwaka 2020 yatatekelezwa na mpango huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS