Kauli ya Samia kuhusu bandari ya Bagamoyo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia Suluhu Hassan, amesema serikali imeanza mazungumzo ya kufufua mradi wa bandari ya Bagamoyo pamoja na kufufua mradi wa makaa ya mawe ya Liganga na Mchuchuma kwa kuwa soko la chuma kwa Dunia limepanda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS