Rais Samia atoa tahadhari ya Corona kwa watanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suhulu Hassan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suhulu Hassan, amewataka Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya corona.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS