Sanamu la George Floyd la haribiwa Picha ya Sanamu la George Floyd Polisi nchini Marekani imeanzisha mchakato wa uchunguzi kubaini wahusika wa tukio la uharibifu wa Sanamu la marehemu George Floyd ambaye aliuawa na aliyekuwa askari wa Minnesota, Derek Chauvin mwezi Mei 25, 2020. Read more about Sanamu la George Floyd la haribiwa