Sanamu la George Floyd la haribiwa

Picha ya Sanamu la George Floyd

Polisi nchini Marekani imeanzisha mchakato wa uchunguzi kubaini wahusika wa tukio la uharibifu wa Sanamu la marehemu George Floyd ambaye aliuawa na aliyekuwa askari wa Minnesota, Derek Chauvin mwezi Mei 25, 2020.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS