Rais akiri uwapo wa wagonjwa wa corona wimbi la 3

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema tayari nchi imekumbwa na wimbi la tatu la ugonjwa wa COVID-19 na kwamba wagonjwa wa ugonjwa huo wapo na kuwaomba viongozi wa dini kuwahubiria waumini jambo hilo ili Taifa liweze kujiepusha na vifo vya makundi makundi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS