Mbunge apendekeza bodaboda wafungiwe leseni zao

Mbunge wa Viti Maalum Neema Lugangira

Mbunge wa Viti Maalum Neema Lugangira, ametoa pendekezo kwa serikali kuhusu faini ya bodaboda na bajaji kwamba waweke mifumo kwenye leseni za madereva hao utakaoruhusu dereva kulipa faini kwa makosa mawili pekee na akitenda kosa la tatu basi afungiwe leseni yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS