Nafanya biashara zinazorudisha kwa jamii- Flaviana
Mwanamitindo na Muanzilishi wa Taasisi ya Flaviana Matata FMF, Flaviana Matata amesema hana mpango wakufanya biashara ambayo haigusi wala kurudisha jamii kwani hata katika biashara zake za sasa zinarudisha kwa jamii.

