Atakayetoa taarifa ya mhalifu Dar kulipwa Mil. 2

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Muliro Jumanne.

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limetangaza donge nono la kiasi cha shilingi milioni mbili kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa za kweli na kwa usiri mkubwa kwa jeshi hilo kuhusu mtu anayefanya uhalifu wa kutumia silaha, lengo likiwa ni kuhakikisha mkoa huo unabaki kuwa shwari.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS