Kafulila apiga marufuku wachimbaji wawili
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila, amezuia uchimbaji wa madini ya dhahabu kwa wamiliki wa Duara Namba 293 na 226, katika Mgodi wa Dutwa Wilaya ya Bariadi mkoani humo, baada ya wamiliki wa duara hizo kudaiwa kuingiliana chini ya ardhi katika eneo la uchimbaji.