Diddy na Burna Boy wapika album

Picha ya Msanii Burna Boy

Mshindi wa tuzo ya Grammy na BET, Burna Boy kutoka nchini Nigeria ameweka wazi kuwa ataachia album yake mpya mwezi Agosti 14 wakati album yake ya “Twice as Tall” ikiwa inatimiza mwaka mmoja tangu itoke.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS