Chalamila aangua kicheko baada ya kuitwa petroli

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Albert Chalamila, akicheka mara baada ya kuambiwa yeye ni mlipukaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amesema kwamba ameamua kumuita Mkuu wa mkoa wa Mwanza Albert Chalamila jina la petroli kwa sababu ni mlipukaji, kauli ambayo ilimfanya Chalamila aangue kicheko kwa muda mrefu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS