Mbunge akumbushia mpango wa Ukonga kuwa Wilaya

Mbunge wa viti maalum Mariam Kisangi

Mbunge wa viti maalum Mariam Kisangi, ameihoji serikali kuhusu mpango wa jimbo la Ukonga kuwa wilaya ili kuwasogezea huduma wananchi wa maeneo ya Msongola, Chanika na Zingiziwa kwani wanapata tabu kufuata huduma kwenye ofisi ya Manispaa ya Halmashauri ya wilaya ya Ilala zilizopo mjini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS