Bingwa mtetezi wa Wimbledon upande wa Wanawake, Simona Halep akishangilia moja ya taji lake alilotwaa katika michuano.
Bingwa mtetezi wa mashindano ya Wimbledon upande wa wanawake, Simona Halep amejiondoa kushiriki michuano ya Wimbledon kufuatia kupata majeraha ya misuli ya kigimbi cha mguu.