"Nimekuja DSM na ndege sio gari" - Barakah
Ni mbwembwe za msanii Barakah The Prince ambaye ametusanua kwamba wakati anaingia jijini Dar es Salaam kwa mara ya kwanza kutokea Mwanza alitumia usafiri wa ndege na sio gari kama walivyofanya wasanii wengi kutoka mikoani.

