Al Ahly na RSB Berkane nani kubeba CAF Super Cup?

Kombe la CAF Super Cup 2020

Mabingwa wa kihistoria wa michuano ya klabu bingwa Afrika, Al Ahly ya Misri inataraji kushuka dimbani saa 1:00 usiku wa leo kucheza dhidi ya RS Berkane ya Morocco kwenye dimba la Jassim Bin Hamad, Doha nchini Qatar kwenye fainali ya CAF Super Cup 2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS