Simba yaifuata Namungo, yatua Mtwara

Mshambuliaji wa klabu ya Simba, Meddie Kagere akiwasili na timu mkoani Mtwara asubuhi ya leo.

Kikosi cha wekundu wa Msimbazi Simba kimewasili salama mkoani Mtwara asubuhi ya leo Mei 28, 2021 kikitokea jijini Dar es Salaam ikiwa ni safari ya kuwafuta Namungo kuelekea mchezo wake wa kesho wa ligi kuu bara utakaochezwa saa 10:00 jioni kwenye dimba la Majaliwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS