Serikali yatoa muongozo kujikinga na Corona
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya imewataka wananchi kuendelea kujikinga na Corona kwa kufuata miongozi sahihi ikiwemo kuvaa barakoa kwenye ofisi zote za serikali, shuleni na taasisi mbalimbali ikiwemo Hospitali.

