Man City kutikisa kwa usajili wa Kane na Grealish
Klabu ya soka ya Manchester City imethibitisha kupeleka ofa ya Pauni Milioni 100 sawa na Bilioni 300 kwa fedha ya Kitanzania katika timu ya Aston Villa kwa ajili ya kumnasa kiungo mchezeshaji Jacky Grealish ikiwa ni rekodi ya uhamisho kwa Ligi kuu ya England.

