Watuhumiwa kuwachezea kishirikiana watumishi
Wananchi wa kijiji cha Nyambogo Kata ya Shiloleli mkoani Geita, wamewafukuza wanawake watatu wenye umri kati ya 60 na 70 kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya kishirikina walivyokuwa wanawafanyia baadhi ya watumishi wa serikali waliopelekea kukimbia kijijini hapo.

