Umaskini bado tatizo Tanzania- Jaji Warioba

Mkuu wa Chuo cha Sokoine cha Kilimo, Jaji Mstaafu Joseph Warioba

Mkuu wa Chuo cha Sokoine cha Kilimo, Jaji Mstaafu Joseph Warioba, amesema miaka 60 tangu uhuru bado Tanzania ina matatizo makubwa ikiwemo eneo la umasikini kwani Watanzania wengi ni maskini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS