Mkuu wa Chuo cha Sokoine cha Kilimo, Jaji Mstaafu Joseph Warioba
Mkuu wa Chuo cha Sokoine cha Kilimo, Jaji Mstaafu Joseph Warioba, amesema miaka 60 tangu uhuru bado Tanzania ina matatizo makubwa ikiwemo eneo la umasikini kwani Watanzania wengi ni maskini.