Leo ni siku ya ATM Mteja akitumia ATM Mnamo Juni 27, 1967, Automated Teller Machine (ATM) ilianza kutumika na inaelezwa kuwa mwigizaji Reg Varney ndiye mtu wa kwanza kutoa fedha kwa kutumia mashine hiyo inayojiendesha katika mji wa Enfield, kaskazini mwa Uingereza. Read more about Leo ni siku ya ATM