Leo ni siku ya ATM

Mteja akitumia ATM

Mnamo Juni 27, 1967, Automated Teller Machine (ATM) ilianza kutumika na inaelezwa kuwa mwigizaji Reg Varney ndiye mtu wa kwanza kutoa fedha kwa kutumia mashine hiyo inayojiendesha katika mji wa Enfield, kaskazini mwa Uingereza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS