"Nature ni Mfalme wa BongoFlava" - Chege Juma Nature kulia na Chege Chigunda kushoto ndani ya East Africa Radio Mtoto wa Mama Saidi Chege Chigunda amemtaja msanii Juma Nature kama ndio Mfalme wa muziki wa BongoFlava kwa sababu ya uwepo wake na kuacha alama kwenye muziki. Read more about "Nature ni Mfalme wa BongoFlava" - Chege