Wachezaji 6 kuikosa Kariakoo Derby kesho Julai 3

Mlinda mlango wa Yanga, Metacha Mnata (kushoto) na kiungo wa Simba, Jonas Mkude (kulia).

Mchezo wa watani wa jadi kutoka mitaa ya kariakoo 'Kariako Derby' unaozikutanisjha timu za Simba na Yanga, unataraji kuchezwa kesho saa 11:00 jioni kwenye dimba la Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam baada ya mchezo huo kughairishwa Mei 8 mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS