Yacouba aipeleka Yanga fainali, baada ya miaka 5
Klabu ya Yanga ya Dar es salaam imetinga hatua ya fainali ya michuano ya kombe la Azam Sports Federation Cup baada ya miaka mitano, kufuatia ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Biashara United Mara kwenye mchezo wa nusu fainali uliochezwa uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora.

