Yacouba aipeleka Yanga fainali, baada ya miaka 5

Yacouba Sogne akishangilia bao dhidi ya Biashara United

Klabu ya Yanga ya Dar es salaam imetinga hatua ya fainali ya michuano ya kombe la Azam Sports Federation Cup baada ya miaka mitano, kufuatia ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Biashara United Mara kwenye mchezo wa nusu fainali uliochezwa uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS