Antetokounmpo na Trae Young hatihati NBA
Mchezaji nyota wa timu ya Milwaukee Bucks, Giannis Antetokounmpo na Trae Young wa Atlanta Hawks, huenda wakakosekana kwenye mchezo wa mzunguko watano wa fainali ya NBA ukanda wa Mashariki utakaochezwa alfajiri ya kuamkia kesho kutokana na majeraha.

