Antetokounmpo na Trae Young hatihati NBA

Giannis Antetokounmpo akiwa anatolewa uwanjani baada ya kupata maumivu ya goti kwenye mchezo wanne dhidi ya Atlanta Hawks.

Mchezaji nyota wa timu ya Milwaukee Bucks, Giannis Antetokounmpo na Trae Young wa Atlanta Hawks, huenda wakakosekana kwenye mchezo wa mzunguko watano wa fainali ya NBA ukanda wa Mashariki utakaochezwa alfajiri ya kuamkia kesho kutokana na majeraha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS