Mwandembwa kuamua dabi ya K/koo, Simba Vs Yanga
Bodi ya Ligi Tanzania bara TPLB imetangaza waamuzi watakao chezesha mchezo wa Dabi ya Kariakoo kati ya Simba SC dhidi ya Yanga SC mchezo utakao chezwa siku ya Jumamosi Julai 3, 2021, uwanja wa Benjamini Mkapa Dar es salaam.

