Mwandembwa kuamua dabi ya K/koo, Simba Vs Yanga

Mchezo wa Simba dhidi ya Yanga utachezwa Saa 11:00 jioni

Bodi ya Ligi Tanzania bara TPLB imetangaza waamuzi watakao chezesha mchezo wa Dabi ya Kariakoo kati ya Simba SC dhidi ya Yanga SC mchezo utakao chezwa siku ya Jumamosi Julai 3, 2021, uwanja wa Benjamini Mkapa Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS