Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt.Dorothy Gwajima
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt.Dorothy Gwajima, amesema kuwa kitaalamu ni kwamba kelele na mitetemo ni moja wapo ya tatizo linalosababisha vifo na magonjwa Duniani.