Kauli ya Rais Samia kuhusu Corona Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu, amesema kuwa serikali imeanza mchakato wa kutafakari mbinu juu ya namna ya kukabiliana na ugonjwa wa Corona, na kusisitiza kuwa wataalamu watakapotoa mapendekezo haitosta kushirikiana na Kenya katika kukabiliana na ugonjwa huo.