Uhuru atoa wiki 2 mahindi mpakani yaingie Kenya

Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta

Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta ametoa wiki mbili kwa ajili ya kushughulikiwa tatizo la mrundikano wa mahindi  katika eneo la mpakani ili biashara ziendelee kama awali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS