Anayedai kugeuzwa msukule miezi 4, azungumza

Shija Peter, mwananchi anayedai kuchukuliwa msukule

Jeshi la polisi wilayani Magu mkoani Mwanza limemuokoa kwenye mikono ya wananchi wenye hasira kali Salome James, mkazi wa Kijiji cha Sato anayedaiwa kuwafanya misukule baadhi ya wakazi wa kijiji hicho na kuwatumikisha kwenye mashamba yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS