Doncic na Bradley ndiyo bora NBA wiki ya 18

Luka Doncic wa Dallas Mavericks (kushoto) na Bradley Beal wa Washington Wizard (Kulia).

Nyota wa timu ya kikapu ya Dallas Mavericks, Luka Doncic na Bradley Beal wa Washington Wizard wamechaguliwa kuwa wachezaji nyota wa wiki ya 18 katika ligi ya kikapu nchini Mreakani baaada ya wawili hao kuonesh aviwango bora katika wiki iliyoanzia Aprili 21 hadi Aprili 25, 2021.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS