Utatuzi wa kero za Muungano kuhusu bajeti

Mwanadiplomasia na mtaalam wa masuala ya kodi, Severin Kapinga.

Mwanadiplomasia na mtaalam wa masuala ya kodi, Severin Kapinga, amesema kuwa kiu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ni kuona kero ya Muungano inayohusu masuala ya bajeti inakwisha na ni jambo ambalo linahitaji wataalam kukaa na kulitengeneza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS