Rais Mwinyi atoa rai kwa ofisi ya Mufti na Madrasa
Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi ametoa rai kwa ofisi ya mufti na madrasa kushirikiana kwa pamoja, ili kuhakikisha kuwa wana mikakati endelevu ya kuandaa vijana ili waweze kushiriki katika mashindano ya kimataifa na kuweza kuitangaza nchi.