Ntibazonkiza aigomea Yanga
Mshambuliaji nyota wa klabu ya Yanga, Said Ntibazonkiza amezua taharuki kwa wanachama na mashabiki wa klabu hiyo baada ya kufunga bao sekunde chache kabla mpira haujamalizika na kulazimisha afanyanyiwe mabadiliko huku akionekana kukosa furaha.