Wananchi wachukue tahadhari kimbunga Jobo- TMA  

Picha za SaTelite kutoka TMA zikikionesha Kimbunga JOBO

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imetoa tahadhari kwa wananchi wote hususan wa kanda ya pwani ya Mkoa wa Lindi kufuatia uwepo wa Kimbunga kilichopewa jina la JOBO ambacho kinatarajiwa kuwa na baadhi ya madhara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS