''TANESCO mkinizingua tutazinguana'' - RC Mndeme
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Bi. Christina Mndeme ameitaka TANESCO mkoa huo kutokuwa chanzo cha kikwazo cha wananchi kupata maji safi na salama baada ya mradi wa muda mrefu ambao upo katika halmashauli ya Madaba kukamilika.